Baadhi tu ya watu waliodondoka na kupoteza fahamu.
Mmoja wa wanakamati ya mazishi, Mkurugenzi wa Global Publishers, Eric Shigongo (kulia) akimsaidia mama mzazi wa Kanumba (katikati) kwenda kwenye kiti chake.


UMATI mkubwa ulijitokeza leo asubuhi katika Viwanja vya Leaders vilivyopo Kinondoni jijini Dar es Salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini hayati Steven Kanumba.
Watu wengi, hususan kina mama waliangua vilio mwili huo ulipopita mbele yao na wengine kudondoka na kupoteza fahamu, hali iliyosababisha watu wa huduma ya kwanza kuwa katika kazi kubwa.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY)/GPL
Watu wengi, hususan kina mama waliangua vilio mwili huo ulipopita mbele yao na wengine kudondoka na kupoteza fahamu, hali iliyosababisha watu wa huduma ya kwanza kuwa katika kazi kubwa.
(PICHA ZOTE NA ISSA MNALLY)/GPL
0 comments:
Speak up your mind
Tell us what you're thinking... !